Ezekieli 45:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC13 Toleo mtakalotoa ni hili; sehemu ya sita ya efa katika homeri moja ya ngano, nanyi mtatoa sehemu ya sita ya efa katika homeri ya shayiri; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 “Vipimo vya matoleo yenu ya nafaka vitakuwa hivi: Moja ya sita ya efa katika homeri moja ya ngano, na moja ya sita ya efa katika homeri moja ya shayiri. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 “Vipimo vya matoleo yenu ya nafaka vitakuwa hivi: Moja ya sita ya efa katika homeri moja ya ngano, na moja ya sita ya efa katika homeri moja ya shayiri. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 “Vipimo vya matoleo yenu ya nafaka vitakuwa hivi: moja ya sita ya efa katika homeri moja ya ngano, na moja ya sita ya efa katika homeri moja ya shayiri. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 “ ‘Hili ndilo toleo maalum mtakalotoa: sehemu ya sita ya efa kutoka kila homeri ya ngano, na sehemu ya sita ya efa kutoka kila homeri ya shayiri. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 “ ‘Hili ndilo toleo maalum mtakalotoa: moja ya sita ya efa kutoka kila homeri ya ngano na moja ya sita ya efa kutoka kila homeri ya shayiri. Tazama sura |