Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Ezekieli 45:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

10 Mtakuwa na mizani ya haki, na efa ya haki, na bathi ya haki.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Kila mtu ni lazima atumie mizani na vipimo halali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Kila mtu ni lazima atumie mizani na vipimo halali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Kila mtu ni lazima atumie mizani na vipimo halali.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Tumieni mizani sahihi na vipimo sahihi vya efa na bathi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Tumieni mizani sahihi na vipimo sahihi vya efa na bathi.

Tazama sura Nakili




Ezekieli 45:10
10 Marejeleo ya Msalaba  

Mizani ya udanganyifu ni chukizo kwa BWANA; Bali vipimo vilivyo sawasawa humpendeza.


Mizani ya haki na vitanga vyake ni vya BWANA; Mawe yote ya mfukoni ni kazi yake.


Vipimo mbalimbali, na pishi mbalimbali, Vyote viwili ni chukizo kwa BWANA.


Kutenda haki na hukumu Humpendeza BWANA kuliko kutoa sadaka.


Kwa maana shamba la mizabibu la eka kumi litatoa bathi moja tu, na homeri ya mbegu itatoa efa tu.


Usiwe na mawe ya kupimia mbalimbali, kubwa na dogo, katika mfuko wako.


Uwe na jiwe timilifu la haki, uwe na kipimo kitimilifu cha haki; zipate kuwa nyingi siku zako, katika nchi akupayo BWANA, Mungu wako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo