Ezekieli 44:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC31 Makuhani hawatakula nyamafu, au iliyoraruliwa, ikiwa ya ndege au ya mnyama. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 Makuhani hawatakula nyama ya mnyama au ndege yeyote aliyekufa mwenyewe au aliyeraruliwa na mnyama wa porini. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 Makuhani hawatakula nyama ya mnyama au ndege yeyote aliyekufa mwenyewe au aliyeraruliwa na mnyama wa porini. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 Makuhani hawatakula nyama ya mnyama au ndege yeyote aliyekufa mwenyewe au aliyeraruliwa na mnyama wa porini. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 Makuhani hawaruhusiwi kula chochote, ikiwa ni ndege au mnyama, aliyekutwa amekufa au aliyeraruliwa na wanyama pori. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 Makuhani hawaruhusiwi kula chochote, ikiwa ni ndege au mnyama, aliyekutwa akiwa amekufa au aliyeraruliwa na wanyama pori. Tazama sura |