Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ezekieli 44:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

26 Naye akiisha kutakaswa watamhesabia siku saba.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Mmoja wao akisha jitia unajisi, atakaa hali hiyo kwa muda wa siku saba. Kisha atakuwa safi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Mmoja wao akisha jitia unajisi, atakaa hali hiyo kwa muda wa siku saba. Kisha atakuwa safi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Mmoja wao akisha jitia unajisi, atakaa hali hiyo kwa muda wa siku saba. Kisha atakuwa safi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Baada ya kujitakasa, atakaa hali hiyo kwa muda wa siku saba.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Baada ya kujitakasa, atakaa hali hiyo kwa muda wa siku saba.

Tazama sura Nakili




Ezekieli 44:26
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na katika siku atakayoingia ndani ya patakatifu, katika ua wa ndani, ili kuhudumu ndani ya patakatifu, atatoa sadaka yake ya dhambi, asema Bwana MUNGU.


Kisha mtu yeyote huko nje shambani atakayemgusa mtu aliyeuawa kwa upanga, au mzoga, au mfupa wa mtu, au kaburi, atakuwa najisi muda wa siku saba.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo