Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Ezekieli 44:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

21 Wala kuhani awaye yote hatakunywa mvinyo, aingiapo katika ua wa ndani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Kuhani yeyote asinywe divai anapoingia ua wa ndani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Kuhani yeyote asinywe divai anapoingia ua wa ndani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Kuhani yeyote asinywe divai anapoingia ua wa ndani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Kuhani yeyote asinywe mvinyo aingiapo katika ukumbi wa ndani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Kuhani yeyote asinywe mvinyo aingiapo katika ukumbi wa ndani.

Tazama sura Nakili




Ezekieli 44:21
6 Marejeleo ya Msalaba  

Wala hawataoa wanawake wajane, wala mwanamke aliyeachwa na mume wake; lakini watatwaa mabikira wa wazao wa nyumba ya Israeli, au mjane aliyefiwa na mumewe kuhani.


Usinywe divai wala kileo chochote, wewe, wala wanao pamoja nawe, hapo mwingiapo ndani ya hema ya kukutania, ili kwamba msife; amri hii itakuwa ni amri ya milele katika vizazi vyenu;


Kwa sababu atakuwa mkuu mbele za Bwana; hatakunywa divai wala kileo; naye atajazwa Roho Mtakatifu hata tangu tumboni mwa mamaye.


Vivyo hivyo mashemasi na wawe wastahivu; si wenye kauli mbili, si watu wa kutumia mvinyo sana, si watu wanaotamani fedha ya aibu;


Tokea sasa usinywe maji tu lakini tumia mvinyo kidogo, kwa ajili ya tumbo lako, na magonjwa yakupatayo mara kwa mara.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo