Ezekieli 43:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC6 Nikasikia sauti ya mmoja asemaye nami, itokayo katika nyumba hiyo; na mtu akasimama karibu nami. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Yule mtu akiwa anasimama karibu nami, nilisikia mtu fulani akisema kutoka katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu; Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Yule mtu akiwa anasimama karibu nami, nilisikia mtu fulani akisema kutoka katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu; Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Yule mtu akiwa anasimama karibu nami, nilisikia mtu fulani akisema kutoka katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu; Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Yule mtu akiwa amesimama kando yangu, nilisikia mtu mmoja akisema nami kutoka ndani ya Hekalu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Wakati yule mtu akiwa amesimama kando yangu, nilisikia mtu mmoja akisema nami kutoka ndani ya Hekalu. Tazama sura |