Ezekieli 43:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC4 Na huo utukufu wa BWANA ukaingia ndani ya nyumba, kwa njia ya lango lile lielekealo upande wa mashariki. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Nao utukufu wa Mwenyezi-Mungu uliingia katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu kwa njia ya lango la mashariki. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Nao utukufu wa Mwenyezi-Mungu uliingia katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu kwa njia ya lango la mashariki. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Nao utukufu wa Mwenyezi-Mungu uliingia katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu kwa njia ya lango la mashariki. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Utukufu wa Mwenyezi Mungu ukaingia hekaluni kupitia lango linaloelekea upande wa mashariki. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Utukufu wa bwana ukaingia hekaluni kwa kupitia lango linaloelekea upande wa mashariki. Tazama sura |