Ezekieli 43:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC16 Na pale pawashiwapo moto, urefu wake dhiraa kumi na mbili, na upana wake kumi na mbili, mraba pande zake nne. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Sehemu ya juu ya madhabahu itakuwa mraba, mita 6 kila upande. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Sehemu ya juu ya madhabahu itakuwa mraba, mita 6 kila upande. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Sehemu ya juu ya madhabahu itakuwa mraba, mita 6 kila upande. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Pale panapowashwa moto pa madhabahu ni mraba, urefu wake ni dhiraa kumi na mbili na upana wa dhiraa kumi na mbili. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Pale pawashwapo moto pa madhabahu ni mraba, urefu wake ni dhiraa kumi na mbili na upana wa dhiraa kumi na mbili. Tazama sura |