Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ezekieli 42:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

7 Na ukuta ule uliokuwa nje, ubavuni mwa vyumba vile, ulioelekea ua wa nje, kuvikabili vyumba vile, urefu wake ni dhiraa hamsini.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Kulikuwa na ukuta mkabala na vyumba kuelekea uwanja wa nje ukiwa na urefu wa mita 25.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Kulikuwa na ukuta mkabala na vyumba kuelekea uwanja wa nje ukiwa na urefu wa mita 25.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Kulikuwa na ukuta mkabala na vyumba kuelekea uwanja wa nje ukiwa na urefu wa mita 25.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Kulikuwa na ukuta wa nje uliokuwa sambamba na vile vyumba na ukumbi wa nje, ulitokeza urefu wa dhiraa hamsini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Kulikuwa na ukuta wa nje uliokuwa sambamba na vile vyumba na ukumbi wa nje, ulitokeza urefu wa dhiraa hamsini.

Tazama sura Nakili




Ezekieli 42:7
2 Marejeleo ya Msalaba  

Tena palikuwa na vyumba katika unene wa ukuta wa ua, kuukabili upande wa mashariki, kupaelekea mahali palipotengeka, na kulielekea jengo.


Na sawasawa na milango ya vyumba, vilivyoelekea upande wa kusini, palikuwa na mlango katika mwisho wa njia ile; yaani, njia iliyoukabili ukuta upande wa mashariki, mtu akiingia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo