Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ezekieli 42:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

19 Akageuka aelekee upande wa magharibi, akapima mianzi mia tano, kwa mwanzi wa kupimia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Kisha akageuka na kupima upande wa magharibi kwa kutumia ufito wake, nao ulikuwa mita 250.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Kisha akageuka na kupima upande wa magharibi kwa kutumia ufito wake, nao ulikuwa mita 250.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Kisha akageuka na kupima upande wa magharibi kwa kutumia ufito wake, nao ulikuwa mita 250.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Kisha akageukia upande wa magharibi na kuupima, ulikuwa dhiraa mia tano kwa ufito ule wa kupimia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Kisha akageukia upande wa magharibi na kuupima, ulikuwa dhiraa 500 kwa ufito ule wa kupimia.

Tazama sura Nakili




Ezekieli 42:19
3 Marejeleo ya Msalaba  

Nawe fanya ua wa maskani; upande wa kusini wa kuelekea kusini kutakuwa na chandarua ya nguo ya kitani nzuri yenye kusokotwa, kwa huo ua, urefu wake upande mmoja utakuwa ni dhiraa mia moja;


Akaupima upande wa kusini, mianzi mia tano, kwa mwanzi wa kupimia.


Alipima pande zake zote nne; lilikuwa na ukuta pande zote, urefu wake mianzi mia tano, na upana wake mianzi mia tano, ili kupatenga mahali palipo patakatifu, na mahali ambapo ni pa watu wote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo