Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ezekieli 42:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

16 Akaupima upande wa mashariki kwa mwanzi wa kupimia, mianzi mia tano, kwa mwanzi wa kupimia pande zote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Aliuchukua ule ufito wake wa kupimia na kuupima upande wa mashariki, nao ulikuwa mita 250.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Aliuchukua ule ufito wake wa kupimia na kuupima upande wa mashariki, nao ulikuwa mita 250.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Aliuchukua ule ufito wake wa kupimia na kuupima upande wa mashariki, nao ulikuwa mita 250.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Akapima upande wa mashariki kwa ule ufito wa kupimia, nao ulikuwa dhiraa mia tano.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Akapima upande wa mashariki kwa ule ufito wa kupimia, nao ulikuwa dhiraa 500

Tazama sura Nakili




Ezekieli 42:16
5 Marejeleo ya Msalaba  

Akanileta huko, na tazama, alikuwapo mtu, ambaye kuonekana kwake kulikuwa kama kuonekana kwa shaba, naye alikuwa na uzi wa kitani mkononi mwake, na mwanzi wa kupimia; akasimama karibu na lango.


Akaupima upande wa kaskazini, mianzi mia tano, kwa mwanzi wa kupimia pande zote.


Tena, mtakapoigawanya nchi kwa kura iwe urithi, mtamtolea BWANA toleo, sehemu takatifu ya nchi, urefu wake utakuwa urefu wa mianzi elfu ishirini na tano, na upana wake elfu kumi; itakuwa takatifu ndani ya mipaka yake yote pande zote.


Kisha nikainua macho yangu, nikaona, na tazama, mtu mwenye kamba ya kupimia mkononi mwake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo