Ezekieli 41:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC24 Na milango hiyo, kila mmoja ulikuwa na mbao mbili; mbao mbili zigeukazo; mbao mbili za mlango mmoja, na mbao mbili za mlango wa pili. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema24 Milango hiyo ilikuwa ya tarabe, kwa hiyo kila mlango uliweza kufunguka katikati. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND24 Milango hiyo ilikuwa ya tarabe, kwa hiyo kila mlango uliweza kufunguka katikati. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza24 Milango hiyo ilikuwa ya tarabe, kwa hiyo kila mlango uliweza kufunguka katikati. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu24 Kila mlango ulikuwa na vipande viwili, vipande viwili vilivyoshikwa na bawaba vyenye kufunguka kwa kila mlango. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu24 Kila mlango ulikuwa na vipande viwili, vipande viwili vilivyoshikwa na bawaba vyenye kufunguka kwa kila mlango. Tazama sura |