Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ezekieli 41:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

23 Nalo hekalu na patakatifu palikuwa na milango miwili.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Kulikuwako na mlango wa tarabe wa kuingia kwenye ukumbi wa hekalu na mlango wa tarabe wa kuingia mahali patakatifu kabisa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Kulikuwako na mlango wa tarabe wa kuingia kwenye ukumbi wa hekalu na mlango wa tarabe wa kuingia mahali patakatifu kabisa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Kulikuwako na mlango wa tarabe wa kuingia kwenye ukumbi wa hekalu na mlango wa tarabe wa kuingia mahali patakatifu kabisa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Mahali patakatifu pa nje na Patakatifu Pa Patakatifu zilikuwa na milango miwili.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Mahali patakatifu pa nje na Patakatifu Pa Patakatifu zilikuwa na milango miwili.

Tazama sura Nakili




Ezekieli 41:23
5 Marejeleo ya Msalaba  

na mikasi, na mabakuli, na miiko, na vyetezo, vya dhahabu iliyosafika; na kwa habari za mahali pa kuingia nyumbani, milango yake ya ndani ya patakatifu pa patakatifu, na milango ya nyumba, yaani ya hekalu, ilikuwa ya dhahabu.


Akanileta mpaka hekaluni, akaipima miimo, upana wake dhiraa sita upande mmoja, na upana wake dhiraa sita upande wa pili, ambao ulikuwa ni upana wa maskani.


Akaupima urefu wake; dhiraa ishirini, na upana wake, dhiraa ishirini, mbele ya hekalu; akaniambia, Hapa ndipo mahali patakatifu kuliko kila mahali.


Baadaye akanileta tena mpaka lango la nyumba; na tazama, maji yalitoka chini ya kizingiti cha nyumba, kwa njia ya mashariki, maana upande wa mbele wa nyumba ulielekea upande wa mashariki; nayo maji yakashuka toka chini ya upande wa kulia wa nyumba, upande wa kusini wa madhabahu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo