Ezekieli 41:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC1 Akanileta mpaka hekaluni, akaipima miimo, upana wake dhiraa sita upande mmoja, na upana wake dhiraa sita upande wa pili, ambao ulikuwa ni upana wa maskani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Kisha, yule mtu akanipeleka kwenye ukumbi wa ndani, mahali patakatifu. Akaipima nafasi iliyoelekea humo ndani, nayo ilikuwa na kina cha mita 3, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Kisha, yule mtu akanipeleka kwenye ukumbi wa ndani, mahali patakatifu. Akaipima nafasi iliyoelekea humo ndani, nayo ilikuwa na kina cha mita 3, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Kisha, yule mtu akanipeleka kwenye ukumbi wa ndani, mahali patakatifu. Akaipima nafasi iliyoelekea humo ndani, nayo ilikuwa na kina cha mita 3, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Kisha yule mtu akanileta katika ukumbi mkuu, naye akaipima miimo; upana wake ulikuwa dhiraa sita kila upande. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Kisha yule mtu akanileta katika sehemu ya nje ya patakatifu, naye akaipima miimo; upana wake ulikuwa dhiraa sita kila upande. Tazama sura |