Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ezekieli 40:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

8 Akaupima na ukumbi wa lango lililoielekea nyumba, mwanzi mmoja.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Yule mtu akakipima pia chumba hicho, nacho kilikuwa na kina mita 4.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Yule mtu akakipima pia chumba hicho, nacho kilikuwa na kina mita 4.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Yule mtu akakipima pia chumba hicho, nacho kilikuwa na kina mita 4.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Kisha akapima baraza ya njia ya lango,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Kisha akapima baraza ya njia ya lango,

Tazama sura Nakili




Ezekieli 40:8
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Daudi akampa Sulemani mwanawe mfano wa ukumbi wa hekalu, na nyumba zake, na hazina zake, na ghorofa zake, na vyumba vyake vya ndani, na mahali pa kiti cha rehema;


Na kamba ya kupimia itaendelea moja kwa moja hadi katika mlima Garebu, tena itazunguka na kufika Goa.


Na kila chumba, upana wake mwanzi mmoja, na urefu wake mwanzi mmoja; na nafasi iliyokuwa kati ya vyumba ni dhiraa tano; na kizingiti cha lango lililokuwa karibu na ukumbi wa lango lililoielekea nyumba, mwanzi mmoja.


Kisha akaupima ukumbi wa lango, dhiraa nane; na miimo yake, dhiraa mbili; na ukumbi wa lango uliielekea nyumba.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo