Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ezekieli 40:43 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

43 Tena hizo kulabu, ambazo urefu wake ni shubiri, zilifungwa ndani pande zote; na juu ya meza hizo ilikuwako nyama ya matoleo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

43 Ndani ya ukumbi huo palizungukwa na vijiti vya kutundikia urefu wa kitanga, na nyama ziliwekwa mezani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

43 Ndani ya ukumbi huo palizungukwa na vijiti vya kutundikia urefu wa kitanga, na nyama ziliwekwa mezani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

43 Ndani ya ukumbi huo palizungukwa na vijiti vya kutundikia urefu wa kitanga, na nyama ziliwekwa mezani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

43 Kulikuwa na kulabu, urefu wake nyanda nne, zilizokuwa zimeshikizwa ukutani pande zote. Meza zilikuwa kwa ajili ya nyama za sadaka.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

43 Kulikuwa na kulabu, urefu wake nyanda nne, zilikuwa zimeshikizwa ukutani pande zote. Meza zilikuwa kwa ajili ya nyama za sadaka.

Tazama sura Nakili




Ezekieli 40:43
5 Marejeleo ya Msalaba  

Tena palikuwa na meza nne kwa sadaka za kuteketezwa, za mawe yaliyochongwa; urefu wake dhiraa moja na nusu, na upana wake dhiraa moja na nusu, na kimo chake dhiraa moja; juu yake waliviweka vyombo vya kuchinjia sadaka za kuteketezwa na sadaka.


Tena nje ya lango la ndani palikuwa na vyumba kwa waimbaji, katika ua wa ndani, uliokuwa kando ya lango lililoelekea kaskazini, navyo vilikabili upande wa kusini; na kimoja kando ya lango lililoelekea upande wa mashariki, kilikabili upande wa kaskazini.


Kisha atachuna sadaka ya kuteketeza na kuikata vipande vyake.


kisha wana wa Haruni, makuhani, watazipanga kuni zilizo juu ya moto uliopo juu ya madhabahu;


Kisha akamkata kondoo vipande vyake; na Musa akateketeza kichwa, na vile vipande, na mafuta.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo