Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ezekieli 40:40 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

40 Na upande mmoja, nje, penye madaraja ya kuliingia lango lililoelekea kaskazini, palikuwa na meza mbili; na upande wa pili, ulio wa ukumbi wa lango hilo, palikuwa na meza mbili.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

40 Nje ya ukumbi huo, kulikuwa na meza mbili upande mmoja na mbili upande mwingine wa njia ya kuingilia kwenye lango la kaskazini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

40 Nje ya ukumbi huo, kulikuwa na meza mbili upande mmoja na mbili upande mwingine wa njia ya kuingilia kwenye lango la kaskazini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

40 Nje ya ukumbi huo, kulikuwa na meza mbili upande mmoja na mbili upande mwingine wa njia ya kuingilia kwenye lango la kaskazini.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

40 Karibu na ukuta wa nje wa baraza ya lile lango, karibu na ngazi kwenye ingilio kuelekea kaskazini kulikuwa na meza mbili, nao upande mwingine wa ngazi kulikuwa na meza mbili.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

40 Karibu na ukuta wa nje wa baraza ya lile lango karibu na ngazi kwenye ingilio kuelekea kaskazini kulikuwa na meza mbili, nako upande mwingine wa ngazi kulikuwepo na meza mbili.

Tazama sura Nakili




Ezekieli 40:40
3 Marejeleo ya Msalaba  

Na katika ukumbi wa lango palikuwa na meza mbili upande huu, na meza mbili upande huu, ili kuichinja sadaka ya kuteketezwa, na sadaka ya dhambi, na sadaka ya hatia.


Palikuwa na meza nne upande huu, na meza nne upande huu, karibu na lango; meza nane ambazo juu yake walizichinja sadaka.


Kisha akanileta, kwa njia ya lango la upande wa kaskazini, mbele ya nyumba; nikaangalia, na tazama, huo utukufu wa BWANA uliijaza nyumba ya BWANA; nikaanguka kifudifudi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo