Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ezekieli 40:32 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

32 Akanileta mpaka ua wa ndani ulioelekea upande wa mashariki, akalipima lango kwa vipimo vivyo hivyo;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Yule mtu alinipeleka upande wa mashariki wa ua wa ndani. Akaipima ile njia ya kuingilia, nayo ilikuwa na urefu kama zile njia nyingine za kuingilia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Yule mtu alinipeleka upande wa mashariki wa ua wa ndani. Akaipima ile njia ya kuingilia, nayo ilikuwa na urefu kama zile njia nyingine za kuingilia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Yule mtu alinipeleka upande wa mashariki wa ua wa ndani. Akaipima ile njia ya kuingilia, nayo ilikuwa na urefu kama zile njia nyingine za kuingilia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 Kisha akanileta hadi kwenye ukumbi wa ndani ulioko upande wa mashariki, naye akalipima lango hilo; lilikuwa na vipimo vilivyo sawasawa na yale mengine.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 Kisha akanileta mpaka kwenye ukumbi wa ndani ulioko upande wa mashariki, naye akalipima lango hilo, lilikuwa na vipimo vilivyo sawasawa na yale mengine.

Tazama sura Nakili




Ezekieli 40:32
3 Marejeleo ya Msalaba  

Tena ua wa ndani ulikuwa na lango, lililoelekea kusini; akapima toka lango hadi lango, kwa kuelekea upande wa kusini, dhiraa mia moja.


Akanileta mpaka lango lililoelekea upande wa kaskazini; akalipima kwa vipimo vivyo hivyo;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo