Ezekieli 40:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC20 Nalo lango la ua wa nje, lililoelekea kaskazini, akalipima urefu wake, na upana wake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Kisha, yule mtu akapima urefu na upana wa lango la upande wa kaskazini wa ua wa nje. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Kisha, yule mtu akapima urefu na upana wa lango la upande wa kaskazini wa ua wa nje. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Kisha, yule mtu akapima urefu na upana wa lango la upande wa kaskazini wa ua wa nje. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Kisha akapima urefu na upana wa lango linaloelekea kaskazini, kukabili ukumbi wa nje. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Kisha akapima urefu na upana wa lango linaloelekea kaskazini, kukabili ukumbi wa nje. Tazama sura |