Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ezekieli 40:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Nalo lango la ua wa nje, lililoelekea kaskazini, akalipima urefu wake, na upana wake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Kisha, yule mtu akapima urefu na upana wa lango la upande wa kaskazini wa ua wa nje.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Kisha, yule mtu akapima urefu na upana wa lango la upande wa kaskazini wa ua wa nje.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Kisha, yule mtu akapima urefu na upana wa lango la upande wa kaskazini wa ua wa nje.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Kisha akapima urefu na upana wa lango linaloelekea kaskazini, kukabili ukumbi wa nje.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Kisha akapima urefu na upana wa lango linaloelekea kaskazini, kukabili ukumbi wa nje.

Tazama sura Nakili




Ezekieli 40:20
6 Marejeleo ya Msalaba  

Akanileta mpaka upande wa kusini, na tazama, lango lililoelekea kusini; akaipima miimo yake, na matao yake, sawasawa na vipimo hivyo.


Kisha akaenda hadi katika lango lielekealo upande wa mashariki, akapanda madaraja yake; akakipima kizingiti cha lango; upana wake mwanzi mmoja; na kizingiti cha pili, upana wake mwanzi mmoja.


Ndipo akanileta mpaka ua wa nje, njia ya kuelekea upande wa kaskazini; akaniingiza katika chumba kilichopakabili mahali palipotengeka, na kilicholikabili jengo upande wa kaskazini;


Kisha akanileta, kwa njia ya lango la upande wa kaskazini, mbele ya nyumba; nikaangalia, na tazama, huo utukufu wa BWANA uliijaza nyumba ya BWANA; nikaanguka kifudifudi.


Nikapewa mwanzi kama fimbo; na mmoja akaniambia, Inuka, ukalipime hekalu la Mungu, na madhabahu, na hao wanaosujudu humo.


Na behewa lililo nje ya hekalu uliache nje wala usilipime, kwa maana Mataifa wamepewa hiyo, nao wataukanyaga mji mtakatifu miezi arubaini na miwili.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo