Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ezekieli 40:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Na ile sakafu ilikuwa kando ya malango, urefu wake sawasawa na urefu wa malango, yaani, sakafu ya chini.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Sakafu hiyo ilitandazwa kuzunguka malango kwa kufuatana na urefu wa malango hayo; hiyo ilikuwa sakafu ya chini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Sakafu hiyo ilitandazwa kuzunguka malango kwa kufuatana na urefu wa malango hayo; hiyo ilikuwa sakafu ya chini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Sakafu hiyo ilitandazwa kuzunguka malango kwa kufuatana na urefu wa malango hayo; hiyo ilikuwa sakafu ya chini.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Njia hii iliyojengwa iliambaa na lango, ikiwa na urefu sawa na lango; hii ilikuwa ni njia ya chini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Njia hii iliyojengwa iliambaa na lango, ikiwa na urefu sawa na lango, hii ilikuwa ni njia ya chini.

Tazama sura Nakili




Ezekieli 40:18
2 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo akanileta mpaka katika ua wa nje, na tazama, palikuwa na vyumba, na sakafu iliyofanyizwa kwa ule ua pande zote; vyumba thelathini vilikuwako juu ya sakafu ile.


Kisha akaupima upana, toka mahali palipokuwa mbele ya lango la chini hadi mahali palipokuwa mbele ya ua wa ndani, nje yake, dhiraa mia moja upande wa mashariki, na upande wa kaskazini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo