Ezekieli 40:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC15 Na toka mahali palipo mbele ya lango, penye maingilio yake, hata mahali palipo mbele ya ukumbi wa ndani ya lango, dhiraa hamsini. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Kutoka mbele ya lango kwenye mwingilio mpaka ukumbi wa ndani wa lango kulikuwa na mita 25. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Kutoka mbele ya lango kwenye mwingilio mpaka ukumbi wa ndani wa lango kulikuwa na mita 25. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Kutoka mbele ya lango kwenye mwingilio mpaka ukumbi wa ndani wa lango kulikuwa na mita 25. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Umbali kuanzia ingilio la njia ya lango hadi mwisho kabisa wa baraza yake ulikuwa dhiraa hamsini. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Umbali kuanzia ingilio la njia ya lango hadi mwisho kabisa wa baraza yake ulikuwa dhiraa hamsini. Tazama sura |