Ezekieli 40:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC14 Akafanya miimo pia, dhiraa sitini; na uwanda uliufikia mwimo, lango lile likizungukwa pande zote. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Chumba cha mwisho kabisa kilielekea kwenye ua. Akakipima chumba hicho nacho kilikuwa na upana mita 10. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Chumba cha mwisho kabisa kilielekea kwenye ua. Akakipima chumba hicho nacho kilikuwa na upana mita 10. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Chumba cha mwisho kabisa kilielekea kwenye ua. Akakipima chumba hicho nacho kilikuwa na upana mita 10. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Akapima pande za mbele za hizo kuta zilizochomoza kuzunguka hadi ndani ya ingilio. Urefu wake ulikuwa dhiraa sitini. Kipimo kilikuwa hadi baraza iliyoangaliana na ua. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Akapima pia ukumbi, urefu wa dhiraa ishirini na lango linalofuatia hiyo nguzo kila upande wa huo ukumbi. Tazama sura |