Ezekieli 4:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 wapate kupungukiwa na mkate na maji, na kustaajabiana, na kukonda kwa sababu ya uovu wao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Nitafanya hivyo ili wakose chakula na maji, na kila mmoja atamwangalia mwenzake kwa kufadhaika; nao watadhoofika kwa adhabu yao.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Nitafanya hivyo ili wakose chakula na maji, na kila mmoja atamwangalia mwenzake kwa kufadhaika; nao watadhoofika kwa adhabu yao.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Nitafanya hivyo ili wakose chakula na maji, na kila mmoja atamwangalia mwenzake kwa kufadhaika; nao watadhoofika kwa adhabu yao.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 kwa kuwa chakula na maji vitakuwa adimu. Kila mmoja atastaajabu kumwona mwenzake, nao watadhoofika kwa sababu ya dhambi yao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 kwa kuwa chakula na maji vitakuwa adimu. Watastajabiana kila mmoja, nao watadhoofika kwa sababu ya dhambi yao. Tazama sura |