Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ezekieli 4:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 Nawe utakila kama mkate wa shayiri, nawe utakioka mbele ya macho yao juu ya mashonde yatokayo katika mwanadamu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Utachukua mavi ya mtu, uwashe moto, uoke mkate, na kuula mbele ya watu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Utachukua mavi ya mtu, uwashe moto, uoke mkate, na kuula mbele ya watu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Utachukua mavi ya mtu, uwashe moto, uoke mkate, na kuula mbele ya watu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Nawe utakula chakula vile ungekula mkate wa shayiri; uoke mkate mbele ya macho ya watu, ukitumia moto wa kinyesi cha mwanadamu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Nawe utakula chakula kama vile ambavyo ungekula mkate wa shayiri, uoke mkate mbele ya macho ya watu, ukitumia kinyesi cha mwanadamu.”

Tazama sura Nakili




Ezekieli 4:12
4 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Abrahamu akaenda hima hemani kwa Sara, akasema, Tayarisha haraka vipimo vitatu vya unga safi, uukande, ufanye mikate.


Akawasihi sana, nao wakaja, wakaingia nyumbani mwake. Akawafanyia karamu, akawapikia mikate isiyochachwa nao wakala.


Lakini yule kamanda akawaambia, Je! Bwana wangu amenituma niseme, maneno haya kwa bwana wako na kwako wewe? Hakunituma pia kwa watu hawa wanaokaa ukutani, wanaokabiliwa na tisho la kula mavi yao wenyewe na kunywa mkojo wao pamoja nanyi?


Nawe utakunywa maji kwa kuyapima, sehemu ya sita ya hini; utayanywa kwa wakati wake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo