Ezekieli 4:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC12 Nawe utakila kama mkate wa shayiri, nawe utakioka mbele ya macho yao juu ya mashonde yatokayo katika mwanadamu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Utachukua mavi ya mtu, uwashe moto, uoke mkate, na kuula mbele ya watu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Utachukua mavi ya mtu, uwashe moto, uoke mkate, na kuula mbele ya watu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Utachukua mavi ya mtu, uwashe moto, uoke mkate, na kuula mbele ya watu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Nawe utakula chakula vile ungekula mkate wa shayiri; uoke mkate mbele ya macho ya watu, ukitumia moto wa kinyesi cha mwanadamu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Nawe utakula chakula kama vile ambavyo ungekula mkate wa shayiri, uoke mkate mbele ya macho ya watu, ukitumia kinyesi cha mwanadamu.” Tazama sura |