Ezekieli 4:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC11 Nawe utakunywa maji kwa kuyapima, sehemu ya sita ya hini; utayanywa kwa wakati wake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Maji nayo utakunywa kwa kipimo: Vikombe viwili, mara moja kwa siku. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Maji nayo utakunywa kwa kipimo: Vikombe viwili, mara moja kwa siku. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Maji nayo utakunywa kwa kipimo: vikombe viwili, mara moja kwa siku. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Pia pima maji sehemu ya sita ya hini, nawe utakunywa kwa wakati uliopangwa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Pia pima maji moja ya sita ya hini, nawe utakunywa kwa wakati uliopangwa. Tazama sura |