Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ezekieli 4:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Nawe utakunywa maji kwa kuyapima, sehemu ya sita ya hini; utayanywa kwa wakati wake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Maji nayo utakunywa kwa kipimo: Vikombe viwili, mara moja kwa siku.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Maji nayo utakunywa kwa kipimo: Vikombe viwili, mara moja kwa siku.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Maji nayo utakunywa kwa kipimo: vikombe viwili, mara moja kwa siku.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Pia pima maji sehemu ya sita ya hini, nawe utakunywa kwa wakati uliopangwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Pia pima maji moja ya sita ya hini, nawe utakunywa kwa wakati uliopangwa.

Tazama sura Nakili




Ezekieli 4:11
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa sababu hiyo watu wangu wamechukuliwa mateka, kwa kukosa kuwa na maarifa; na watu wao wenye cheo wana njaa, na wengi wao waona kiu sana.


Na chakula chako utakachokula kitapimwa, shekeli ishirini kwa siku moja; utakila kwa wakati wake.


Nawe utakila kama mkate wa shayiri, nawe utakioka mbele ya macho yao juu ya mashonde yatokayo katika mwanadamu.


Tena akaniambia, Mwanadamu, tazama, nitalivunja tegemeo la chakula katika Yerusalemu; nao watakula mkate kwa kuupima, na kwa kuutunza sana; nao watakunywa maji kwa kuyapima, na kwa hofu;


Kwa kuwa yeye aliyetumwa na Mungu huyanena maneno ya Mungu; kwa sababu hamtoi Roho kwa kipimo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo