Ezekieli 39:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC19 Nanyi mtakula mafuta na kushiba, mtakunywa damu na kulewa, katika karamu yangu ya kafara ninayoiandaa kwa ajili yenu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 Katika karamu hiyo ninayowafanyia watakula mafuta na kushiba. Watakunywa damu na kulewa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Katika karamu hiyo ninayowafanyia watakula mafuta na kushiba. Watakunywa damu na kulewa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Katika karamu hiyo ninayowafanyia watakula mafuta na kushiba. Watakunywa damu na kulewa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 Katika dhabihu ninayoandaa kwa ajili yenu, mtakula mafuta hadi mshibe, na kunywa damu hadi mlewe. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 Katika dhabihu ninayoandaa kwa ajili yenu, mtakula mafuta mpaka mkinai na kunywa damu mpaka mlewe. Tazama sura |