Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ezekieli 39:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

19 Nanyi mtakula mafuta na kushiba, mtakunywa damu na kulewa, katika karamu yangu ya kafara ninayoiandaa kwa ajili yenu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Katika karamu hiyo ninayowafanyia watakula mafuta na kushiba. Watakunywa damu na kulewa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Katika karamu hiyo ninayowafanyia watakula mafuta na kushiba. Watakunywa damu na kulewa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Katika karamu hiyo ninayowafanyia watakula mafuta na kushiba. Watakunywa damu na kulewa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Katika dhabihu ninayoandaa kwa ajili yenu, mtakula mafuta hadi mshibe, na kunywa damu hadi mlewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Katika dhabihu ninayoandaa kwa ajili yenu, mtakula mafuta mpaka mkinai na kunywa damu mpaka mlewe.

Tazama sura Nakili




Ezekieli 39:19
3 Marejeleo ya Msalaba  

Wana wako wamezimia, Wamelala penye pembe za njia kuu zote Kama kulungu wavuni; Wamejaa hasira ya BWANA, Lawama ya Mungu wako.


Mtakula nyama yao walio hodari, na kunywa damu ya wakuu wa dunia, ya kondoo dume na ya wana-kondoo, na ya mbuzi, na ya ng'ombe, wote na wanono wa Bashani.


Nanyi mtashibishwa mezani pangu kwa farasi, na magari ya vita, na mashujaa, na watu wote wa vita, asema Bwana MUNGU.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo