Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ezekieli 39:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

16 Tena, Hamona litakuwa jina la mji. Hivyo ndivyo watakavyotakasa nchi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Huko kutakuwa pia mji utakaoitwa Hamona. Ndivyo watakavyoisafisha nchi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Huko kutakuwa pia mji utakaoitwa Hamona. Ndivyo watakavyoisafisha nchi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Huko kutakuwa pia mji utakaoitwa Hamona. Ndivyo watakavyoisafisha nchi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 (Pia mji uitwao Hamona utakuwa humo.) Hivyo ndivyo watakavyoisafisha nchi.’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 (Pia mji uitwao Hamona utakuwa humo.) Hivyo ndivyo watakavyoisafisha nchi.’

Tazama sura Nakili




Ezekieli 39:16
4 Marejeleo ya Msalaba  

Na kwa muda wa miezi saba, nyumba ya Israeli watakuwa wakiwazika, wapate kuitakasa nchi.


Na hao wapitao kati ya nchi watachunguza; na mtu yeyote aonapo mfupa wa mtu, ndipo atakapoweka alama karibu nao, hadi wazikaji watakapouzika katika bonde la Hamon-Gogu.


Na wewe, mwanadamu, Bwana MUNGU asema hivi; Sema na ndege wa kila namna, na kila mnyama wa porini, Jikusanyeni, mje; jikusanyeni pande zote mwijie karamu yangu ya kafara ninayoandaa kwa ajili yenu, naam, karamu kuu ya kafara juu ya milima ya Israeli, mpate kula nyama na kunywa damu.


Kisha mtu yeyote huko nje shambani atakayemgusa mtu aliyeuawa kwa upanga, au mzoga, au mfupa wa mtu, au kaburi, atakuwa najisi muda wa siku saba.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo