Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ezekieli 37:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Navyo vijiti, ambavyo uliandika juu yake, vitakuwa mkononi mwako mbele ya macho yao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 “Ukiwa mbele yao huku umeshika vijiti ulivyoandika juu yake,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 “Ukiwa mbele yao huku umeshika vijiti ulivyoandika juu yake,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 “Ukiwa mbele yao huku umeshika vijiti ulivyoandika juu yake,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Inua mbele ya macho yao zile fimbo ulizoziandika

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Inua mbele ya macho yao zile fimbo ulizoziandika

Tazama sura Nakili




Ezekieli 37:20
5 Marejeleo ya Msalaba  

Basi, mwanadamu, funga tayari vyombo kwa uhamisho, ukahame wakati wa mchana mbele ya macho yao; nawe utahama toka mahali pako hapa mpaka mahali pengine mbele ya macho yao; labda watafahamu, wajapokuwa ni nyumba iliyoasi.


Waambie, Bwana MUNGU asema hivi; Tazama, nitakitwaa kijiti cha Yusufu, kilicho mkononi mwa Efraimu, na makabila ya Israeli wenzake, nami nitawaweka pamoja nacho, yaani, pamoja na kijiti cha Yuda, na kuvifanya kuwa kijiti kimoja; navyo vitakuwa kimoja mkononi mwangu.


Ukawaambie, Bwana MUNGU asema hivi; Tazama, nitawatwaa wana wa Israeli toka kati ya mataifa walikokwenda, nami nitawakusanya pande zote, na kuwaleta katika nchi yao wenyewe;


Tena nimenena na hao manabii, nami nimeongeza maono, na kwa utumishi wa manabii nimetumia mifano.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo