Ezekieli 37:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC13 Nanyi mtajua ya kuwa mimi ndimi BWANA, nitakapoyafunua makaburi yenu, na kuwatoa ninyi katika makaburi yenu, enyi watu wangu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Nanyi, enyi watu wangu, mtatambua kuwa mimi ni Mwenyezi-Mungu nitakapofunua makaburi yenu na kuwafufua kutoka makaburini mwenu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Nanyi, enyi watu wangu, mtatambua kuwa mimi ni Mwenyezi-Mungu nitakapofunua makaburi yenu na kuwafufua kutoka makaburini mwenu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Nanyi, enyi watu wangu, mtatambua kuwa mimi ni Mwenyezi-Mungu nitakapofunua makaburi yenu na kuwafufua kutoka makaburini mwenu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Ndipo ninyi watu wangu, mtajua kuwa Mimi ndimi Mwenyezi Mungu, nitakapoyafunua makaburi yenu na kuwatoa humo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Ndipo ninyi watu wangu, mtakapojua kuwa Mimi ndimi bwana, nitakapoyafunua makaburi yenu na kuwatoa humo. Tazama sura |