Ezekieli 36:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC30 Nami nitazidisha matunda ya miti, na mazao ya mashamba, msipate tena kutukanwa na mataifa kwa sababu ya njaa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema30 Nitayazidisha matunda ya miti na mazao ya mashamba ili msiaibike tena kwa njaa kati ya mataifa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND30 Nitayazidisha matunda ya miti na mazao ya mashamba ili msiaibike tena kwa njaa kati ya mataifa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza30 Nitayazidisha matunda ya miti na mazao ya mashamba ili msiaibike tena kwa njaa kati ya mataifa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu30 Nitaongeza matunda ya miti na mazao ya mashamba, ili msipate tena aibu miongoni mwa mataifa kwa ajili ya njaa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu30 Nitaongeza matunda ya miti na mazao ya mashamba, ili kwamba msipate tena aibu miongoni mwa mataifa kwa ajili ya njaa. Tazama sura |