Ezekieli 36:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC25 Nami nitawanyunyizia maji safi, nanyi mtakuwa safi; nitawatakaseni kutoka kwa uchafu wenu wote, na kutoka kwa vinyago vyenu vyote. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema25 Nitawanyunyizia maji safi, nanyi mtatakata uchafu wenu wote na sanamu za miungu yenu yote. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND25 Nitawanyunyizia maji safi, nanyi mtatakata uchafu wenu wote na sanamu za miungu yenu yote. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza25 Nitawanyunyizia maji safi, nanyi mtatakata uchafu wenu wote na sanamu za miungu yenu yote. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu25 Nitawanyunyizia maji safi, nanyi mtakuwa safi, nitawatakasa kutoka uchafu wenu wote na kutoka sanamu zenu zote. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu25 Nitawanyunyizia maji safi, nanyi mtakuwa safi, nitawatakasa kutoka uchafu wenu wote na kutoka sanamu zenu zote. Tazama sura |