Ezekieli 35:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC7 Hivyo ndivyo nitakavyoufanya mlima Seiri kuwa ajabu na ukiwa; nami nitakatilia mbali nao mtu apitaye, na mtu arejeaye. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Nitaufanya mlima Seiri kuwa ukiwa na jangwa na yeyote apitaye huko nitamwangamiza. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Nitaufanya mlima Seiri kuwa ukiwa na jangwa na yeyote apitaye huko nitamwangamiza. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Nitaufanya mlima Seiri kuwa ukiwa na jangwa na yeyote apitaye huko nitamwangamiza. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Nitaufanya Mlima Seiri ukiwa na kuukatilia mbali na wote wanaokuja na wanaoenda. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Nitaufanya Mlima Seiri ukiwa na usiokaliwa na watu wala kulimika na kuukatilia mbali na wote wanaokuja na wanaokwenda. Tazama sura |