Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Ezekieli 34:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

9 kwa sababu hiyo, enyi wachungaji, lisikieni neno la BWANA;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Basi, nyinyi wachungaji, sikieni neno langu mimi Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Basi, nyinyi wachungaji, sikieni neno langu mimi Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Basi, nyinyi wachungaji, sikieni neno langu mimi Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 kwa hiyo enyi wachungaji, sikieni neno la Mwenyezi Mungu:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 kwa hiyo enyi wachungaji, sikieni neno la bwana:

Tazama sura Nakili




Ezekieli 34:9
4 Marejeleo ya Msalaba  

Mwanadamu, tabiri juu ya manabii wa Israeli wanaotabiri, uwaambie wanaotabiri kwa mioyo yao wenyewe, Lisikieni neno la BWANA;


Bwana MUNGU asema hivi; Tazama, mimi ni juu ya wachungaji; nami nitawataka kondoo wangu mikononi mwao, nami nitawaachisha hiyo kazi ya kuwalisha kondoo; nao wachungaji hawatajilisha wenyewe tena; nami nitawaokoa kondoo wangu vinywani mwao, wasiwe tena chakula chao.


Basi, enyi wachungaji, lisikieni neno la BWANA;


Kama mimi niishivyo, asema Bwana MUNGU, kwa sababu kondoo wangu walikuwa mateka, kondoo wangu wakawa chakula cha wanyamamwitu wote, kwa sababu hapakuwa na mchungaji, wala wachungaji wangu hawakutafuta kondoo wangu, bali wachungaji walijilisha wenyewe wala hawakuwalisha kondoo wangu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo