Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Ezekieli 34:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

7 Basi, enyi wachungaji, lisikieni neno la BWANA;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 “Basi, sikieni vizuri neno langu mimi Mwenyezi-Mungu, enyi wachungaji:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 “Basi, sikieni vizuri neno langu mimi Mwenyezi-Mungu, enyi wachungaji:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 “Basi, sikieni vizuri neno langu mimi Mwenyezi-Mungu, enyi wachungaji:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 “ ‘Kwa hiyo, ninyi wachungaji, lisikieni neno la Mwenyezi Mungu:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 “ ‘Kwa hiyo, ninyi wachungaji, lisikieni neno la bwana:

Tazama sura Nakili




Ezekieli 34:7
13 Marejeleo ya Msalaba  

Lisikieni neno la BWANA, enyi waamuzi wa Sodoma; tegeni masikio msikie sheria ya Mungu wetu, enyi watu wa Gomora.


Ndipo utakapowaambia, BWANA asema hivi, Tazama, nitawajaza ulevi wenyeji wote wa nchi hii, hata wafalme wanaoketi katika kiti cha enzi cha Daudi, na makuhani, na manabii, na wenyeji wote wa Yerusalemu.


Mwambie mfalme, na mama ya mfalme, Nyenyekeeni na kuketi chini; Kwa maana vilemba vyenu vimeshuka, naam, taji la utukufu wenu.


Kwa sababu hiyo, Ewe kahaba, lisikie neno la BWANA;


Kondoo wangu walitangatanga katika milima yote, na juu ya kila kilima kirefu; naam, kondoo wangu walitawanyika juu ya uso wote wa dunia; wala hapakuwa na mtu aliyewaulizia, wala kuwatafuta.


Kama mimi niishivyo, asema Bwana MUNGU, kwa sababu kondoo wangu walikuwa mateka, kondoo wangu wakawa chakula cha wanyamamwitu wote, kwa sababu hapakuwa na mchungaji, wala wachungaji wangu hawakutafuta kondoo wangu, bali wachungaji walijilisha wenyewe wala hawakuwalisha kondoo wangu;


kwa sababu hiyo, enyi wachungaji, lisikieni neno la BWANA;


Na sasa, enyi makuhani, amri hii yawahusu ninyi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo