Ezekieli 34:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC5 Nao wakatawanyika, kwa sababu hapakuwa na mchungaji; wakawa chakula cha wanyamamwitu, wakatawanyika. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Basi, kwa kuwa hao kondoo hawakuwa na mchungaji walitawanywa, wakawa mawindo ya wanyama wakali. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Basi, kwa kuwa hao kondoo hawakuwa na mchungaji walitawanywa, wakawa mawindo ya wanyama wakali. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Basi, kwa kuwa hao kondoo hawakuwa na mchungaji walitawanywa, wakawa mawindo ya wanyama wakali. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Hivyo walitawanyika kwa sababu hapakuwa na mchungaji, nao walipotawanyika, wakawa chakula cha wanyama mwitu wote. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Hivyo walitawanyika kwa sababu hapakuwepo mchungaji, nao walipotawanyika, wakawa chakula cha wanyama wa mwitu wote. Tazama sura |