Ezekieli 34:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC11 Maana, Bwana MUNGU asema hivi; Tazama, mimi mwenyewe, naam, mimi, nitawatafuta kondoo wangu, na kuwatunza. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 “Basi, mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Mimi mwenyewe nitawatafuta kondoo wangu na kuwatunza. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 “Basi, mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Mimi mwenyewe nitawatafuta kondoo wangu na kuwatunza. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 “Basi, mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Mimi mwenyewe nitawatafuta kondoo wangu na kuwatunza. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 “ ‘Kwa kuwa hili ndilo asemalo Bwana Mungu Mwenyezi: Mimi mwenyewe nitawaulizia kondoo wangu na kuwatafuta. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 “ ‘Kwa kuwa hili ndilo bwana Mwenyezi asemalo: Mimi mwenyewe nitawaulizia kondoo wangu na kuwatafuta. Tazama sura |