Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Ezekieli 34:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

1 Neno la BWANA likanijia, kusema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Neno la Mwenyezi Mungu likanijia kusema:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Neno la bwana likanijia kusema:

Tazama sura Nakili




Ezekieli 34:1
7 Marejeleo ya Msalaba  

Ole wao wachungaji, wanaoharibu kondoo za malisho yangu na kuwatawanya! Asema BWANA.


Nami nitaonekana kwenu, asema BWANA, nami nitawarudisha watu wenu waliofungwa, nami nitawakusanya ninyi, nikiwatoa katika mataifa yote, na katika mahali pote, nilikowafukuza, asema BWANA; nami nitawaleta tena, hadi mahali ambapo kutoka hapo niliwafanya mchukuliwe mateka.


ndipo nitakapokushusha pamoja nao washukao shimoni, uende kwa watu wa kale; nami nitakukalisha pande za chini za nchi; mahali palipokuwa ukiwa tangu zamani, pamoja nao washukao shimoni; ili usikaliwe na watu, wala usiweke utukufu wako katika nchi yao walio hai.


Na hayo yatakapokuwapo (tazama, yanakuja), ndipo watakapojua ya kuwa nabii amekuwapo kati yao.


Mwanadamu, toa unabii juu ya wachungaji wa Israeli, toa unabii, uwaambie, naam, hao wachungaji, Bwana MUNGU asema hivi; Ole wao wachungaji wa Israeli, wanaojilisha wenyewe; je! Haiwapasi wachungaji kuwalisha kondoo?


Tena neno la BWANA likanijia, kusema,


BWANA akaniambia, Jitwalie tena vyombo vya mchungaji mpumbavu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo