Ezekieli 33:33 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC33 Na hayo yatakapokuwapo (tazama, yanakuja), ndipo watakapojua ya kuwa nabii amekuwapo kati yao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema33 Lakini hayo unayosema yatakapotukia – nayo kweli yatatukia – basi, ndipo watakapotambua kuwa nabii amekuwapo miongoni mwao.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND33 Lakini hayo unayosema yatakapotukia – nayo kweli yatatukia – basi, ndipo watakapotambua kuwa nabii amekuwapo miongoni mwao.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza33 Lakini hayo unayosema yatakapotukia — nayo kweli yatatukia — basi, ndipo watakapotambua kuwa nabii amekuwapo miongoni mwao.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu33 “Mambo haya yote yatakapotimia, kwa kuwa hakika yatatokea, ndipo watajua kuwa nabii amekuwa miongoni mwao.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu33 “Wakati mambo haya yote yatakapotimia, kwa kuwa hakika yatatokea, ndipo watakapojua kwamba nabii amekuwepo miongoni mwao.” Tazama sura |