Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ezekieli 33:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

23 Neno la BWANA likanijia, kusema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Ndipo neno la Mwenyezi Mungu likanijia kusema:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Ndipo neno la bwana likanijia kusema:

Tazama sura Nakili




Ezekieli 33:23
3 Marejeleo ya Msalaba  

Basi mkono wa Bwana umekuwa juu yangu wakati wa jioni, kabla hajafika yeye aliyetoroka; naye alikuwa amenifumbua kinywa changu, hata aliponijia wakati wa asubuhi; na kinywa changu kilikuwa wazi, wala sikuwa bubu tena.


Mwanadamu, watu wale wakaao mahali palipoharibika katika nchi ya Israeli husema ya kwamba, Abrahamu alikuwa mmoja, akairithi nchi hii; lakini sisi tu watu wengi; tumepewa nchi hii iwe urithi wetu.


nao watamwona uso wake, na jina lake litakuwa katika vipaji vya nyuso zao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo