Ezekieli 33:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC18 Mwenye haki ageukapo, na kuiacha haki yake, na kutenda maovu, atakufa katika maovu hayo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Mtu mwadilifu akiacha uadilifu wake, akaanza kutenda uovu, atakufa kwa sababu ya uovu wake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Mtu mwadilifu akiacha uadilifu wake, akaanza kutenda uovu, atakufa kwa sababu ya uovu wake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Mtu mwadilifu akiacha uadilifu wake, akaanza kutenda uovu, atakufa kwa sababu ya uovu wake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Kama mtu mwenye haki akigeuka kutoka uadilifu wake na kufanya uovu, atakufa kwa ajili ya huo uovu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Kama mtu mwenye haki akigeuka kutoka uadilifu wake na kufanya uovu, atakufa kwa ajili ya huo uovu. Tazama sura |