Ezekieli 32:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC6 Tena kwa damu yako nitainywesha nchi, ambayo waogelea juu yake, hata milimani; na mifereji ya maji itajawa nawe. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Nchi nitainywesha damu yako mpaka milimani, mashimo yatajaa damu yako. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Nchi nitainywesha damu yako mpaka milimani, mashimo yatajaa damu yako. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Nchi nitainywesha damu yako mpaka milimani, mashimo yatajaa damu yako. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Nitailowanisha nchi kwa damu yako inayotiririka njia yote hadi milimani, nayo mabonde yatajazwa na nyama yako. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Nitailowanisha nchi kwa damu yako inayotiririka njia yote hadi milimani, nayo mabonde yatajazwa na nyama yako. Tazama sura |