Ezekieli 32:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC28 Lakini utavunjika kati ya hao wasiotahiriwa, nawe utalala pamoja nao waliouawa kwa upanga. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema28 Basi, nyinyi Wamisri mtaangamizwa na kulazwa miongoni mwa wasiomjua Mungu waliouawa vitani. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND28 Basi, nyinyi Wamisri mtaangamizwa na kulazwa miongoni mwa wasiomjua Mungu waliouawa vitani. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza28 Basi, nyinyi Wamisri mtaangamizwa na kulazwa miongoni mwa wasiomjua Mungu waliouawa vitani. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu28 “Wewe pia, ee Farao, utavunjwa nawe utalala miongoni mwa wasiotahiriwa, pamoja na wale waliouawa kwa upanga. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu28 “Wewe pia, ee Farao, utavunjwa nawe utalala miongoni mwa wasiotahiriwa, pamoja na wale waliouawa kwa upanga. Tazama sura |