Ezekieli 32:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 Ikawa katika mwaka wa kumi na mbili, siku ya kumi na tano ya mwezi, neno la BWANA likanijia kusema, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Siku ya kumi na tano ya mwezi wa kwanza, mwaka wa kumi na mbili tangu kuhamishwa kwetu, neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia: Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Siku ya kumi na tano ya mwezi wa kwanza, mwaka wa kumi na mbili tangu kuhamishwa kwetu, neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia: Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Siku ya kumi na tano ya mwezi wa kwanza, mwaka wa kumi na mbili tangu kuhamishwa kwetu, neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia: Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Katika mwaka wa kumi na mbili, mwezi wa kwanza, siku ya kumi na tano ya mwezi, neno la Mwenyezi Mungu likanijia kusema: Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Katika mwaka wa kumi na mbili, mwezi wa kwanza, siku ya kumi na tano ya mwezi, neno la bwana likanijia kusema: Tazama sura |