Ezekieli 32:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC11 Maana Bwana MUNGU asema hivi; Upanga wa mfalme wa Babeli utakujia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Kwa maana, mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Upanga wa mfalme wa Babuloni utakufuatia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Kwa maana, mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Upanga wa mfalme wa Babuloni utakufuatia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Kwa maana, mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Upanga wa mfalme wa Babuloni utakufuatia. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 “ ‘Kwa kuwa hili ndilo asemalo Bwana Mungu Mwenyezi: “ ‘Upanga wa mfalme wa Babeli utakuja dhidi yako. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 “ ‘Kwa kuwa hili ndilo bwana Mwenyezi asemalo: “ ‘Upanga wa mfalme wa Babeli utakuja dhidi yako. Tazama sura |