Ezekieli 31:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC7 Basi hivyo alikuwa mzuri katika ukuu wake, katika urefu wa matawi yake; maana mizizi yake ilikuwa karibu na maji mengi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Ulikuwa mzuri kwa ukubwa wake, na kwa urefu wa matawi yake. Mizizi yake ilipenya chini mpaka penye maji mengi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Ulikuwa mzuri kwa ukubwa wake, na kwa urefu wa matawi yake. Mizizi yake ilipenya chini mpaka penye maji mengi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Ulikuwa mzuri kwa ukubwa wake, na kwa urefu wa matawi yake. Mizizi yake ilipenya chini mpaka penye maji mengi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Ulikuwa na fahari katika uzuri, ukiwa na matawi yaliyotanda, kwa kuwa mizizi yake iliteremka hadi kwenye maji mengi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Ulikuwa na fahari katika uzuri, ukiwa na matawi yaliyotanda, kwa kuwa mizizi yake ilikwenda chini mpaka kwenye maji mengi. Tazama sura |