Ezekieli 31:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC2 Mwanadamu, mwambie Farao mfalme wa Misri, na jamii ya watu wake, Je! Umefanana na nani katika ukuu wako? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 “Wewe mtu! Mwambie hivi Farao mfalme wa Misri na watu wake wote: Wewe wafanana na nini kwa ukuu wako? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 “Wewe mtu! Mwambie hivi Farao mfalme wa Misri na watu wake wote: Wewe wafanana na nini kwa ukuu wako? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 “Wewe mtu! Mwambie hivi Farao mfalme wa Misri na watu wake wote: Wewe wafanana na nini kwa ukuu wako? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 “Mwanadamu, mwambie Farao mfalme wa Misri na makundi yake hivi: “ ‘Je, ni nani awezaye kulinganishwa na wewe katika fahari. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 “Mwanadamu, mwambie Farao mfalme wa Misri na makundi yake ya wajeuri: “ ‘Je, ni nani awezaye kulinganishwa na wewe katika fahari. Tazama sura |