Ezekieli 31:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC1 Ikawa katika mwaka wa kumi na mmoja, mwezi wa tatu, siku ya kwanza ya mwezi, neno la BWANA likanijia, kusema, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Mnamo siku ya kwanza ya mwezi wa tatu, mwaka wa kumi na moja tangu uhamisho wetu, neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia: Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Mnamo siku ya kwanza ya mwezi wa tatu, mwaka wa kumi na moja tangu uhamisho wetu, neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia: Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Mnamo siku ya kwanza ya mwezi wa tatu, mwaka wa kumi na moja tangu uhamisho wetu, neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia: Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Katika mwaka wa kumi na moja, mwezi wa tatu, siku ya kwanza, neno la Mwenyezi Mungu likanijia, kusema: Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Katika mwaka wa kumi na moja, mwezi wa tatu, siku ya kwanza, neno la bwana likanijia, kusema: Tazama sura |