Ezekieli 30:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC20 Ikawa katika mwaka wa kumi na mmoja, mwezi wa kwanza, siku ya saba ya mwezi, neno la BWANA likanijia, kusema, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Siku ya saba ya mwezi wa kwanza, mwaka wa kumi na moja tangu uhamisho wetu, neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia: Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Siku ya saba ya mwezi wa kwanza, mwaka wa kumi na moja tangu uhamisho wetu, neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia: Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Siku ya saba ya mwezi wa kwanza, mwaka wa kumi na moja tangu uhamisho wetu, neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia: Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Katika mwaka wa kumi na moja, mwezi wa kwanza, siku ya saba, neno la Mwenyezi Mungu likanijia kusema: Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Katika mwaka wa kumi na moja, mwezi wa kwanza, siku ya saba, neno la bwana likanijia kusema: Tazama sura |