Ezekieli 30:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 Vijana wa Oni, na wa Pi-besethi, wataanguka kwa upanga; na miji hiyo itakwenda utumwani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Vijana wanaume wa Oni na Pi-besethi watauawa kwa upanga, na wakazi wengine watachukuliwa uhamishoni. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Vijana wanaume wa Oni na Pi-besethi watauawa kwa upanga, na wakazi wengine watachukuliwa uhamishoni. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Vijana wanaume wa Oni na Pi-besethi watauawa kwa upanga, na wakazi wengine watachukuliwa uhamishoni. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Wanaume vijana wa Oni na wa Pi-Besethi wataanguka kwa upanga nayo hiyo miji itatekwa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Wanaume vijana wa Oni na wa Pi-Besethi wataanguka kwa upanga nayo hiyo miji itatekwa. Tazama sura |