Ezekieli 3:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC22 Na mkono wa BWANA ulikuwako juu yangu huko; akaniambia, Ondoka, nenda bondeni; nami nitasema nawe huko. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema22 Nguvu ya Mwenyezi-Mungu ilikuwa juu yangu; naye akaniambia, “Inuka uende mpaka sehemu tambarare nami nitaongea nawe huko.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND22 Nguvu ya Mwenyezi-Mungu ilikuwa juu yangu; naye akaniambia, “Inuka uende mpaka sehemu tambarare nami nitaongea nawe huko.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza22 Nguvu ya Mwenyezi-Mungu ilikuwa juu yangu; naye akaniambia, “Inuka uende mpaka sehemu tambarare nami nitaongea nawe huko.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu22 Mkono wa Mwenyezi Mungu ulikuwa juu yangu huko, naye akaniambia, “Simama uende sehemu tambarare, nami nitasema nawe huko.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu22 Mkono wa bwana ulikuwa juu yangu huko, naye akaniambia, “Simama uende mpaka sehemu tambarare, nami nitasema nawe huko.” Tazama sura |